Wana Jamvi,
Jana kulikuwepo prukushani ya nguo kuchani baada ya Jeshi la Polisi kuwavamia bodaboda wa bunju A shule na kukamata baadhi yao, Inasemekana boda boda wakishafanya fujo sehemu huwa wanahama kituo kwa muda.
Hali hii imesababisha boda boda Nyingi kuamia sehemu moja, janja hii polisi washaishutukia jambao ambalo liliwafanya kuvamia kituo kimoja wapo hapo Bunju.
Nikiwa nimetoka kama dakika chache hapo bunju A shule baa ya Parking ilikuwa imejaa sana watu wakifurahi weekend na kuburudishwa na bia ya tusker ambayo ilikuwa kwenye promotion ya nunua bia kwa Tshs 2000 tu, dakika chache baada ya milio bodaboda wengi walikimbilia mitaa ya ndani ndani kujificha.
Chanzo cha kujificha ni kile kitendo cha kuchoma gari lilikuwa likiendeshwa na mzungu kisha likapata pancha na kuyumba na kuparamia watu waliokuwa wamebebena misiri ya mishikaki.
Tukio hilo lilikuwa la kusikitisha shana kwani uamuzi wa wanaboda boda haukuwa mzuri wa kujichukulia sheria mkononi, kwa sasa boda boda wanahaha kutafuta makazi mapya ya kujificha.
Katika tukio jingine, watu walidaiwa kunasia, hii habari ni ya uongo tu walikuwa wamekamatwa ugoni wa kawaida tu kwenye gest jina kwenye kapu.