tzcountry I love
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 729
- 641
Kweli Tanzania tuko nyuma sana kama yunaaminishwa kuwa helikopta haiwezi kubeba wajeruhi wote na kuwapeleka katika matibabu
bora.
Mwandishi wa habari aliyekufa alikuwa anamhudumia huyo waziri.lakini serikali inashindwa hata kumtaja pamoja na hao wengine walioumia.
Kuna Mwana jf hapa anasema ni kupotosha kusema mtu amekufa ina maana yeye hana habari kabisa kama mwandishi kijana mdogo kabisa kafa katika ajali hiyo! Lol! Afruika tuna riho mbaya na umwinyi mwingi.
Mola atusamehe!
bora.
Mwandishi wa habari aliyekufa alikuwa anamhudumia huyo waziri.lakini serikali inashindwa hata kumtaja pamoja na hao wengine walioumia.
Kuna Mwana jf hapa anasema ni kupotosha kusema mtu amekufa ina maana yeye hana habari kabisa kama mwandishi kijana mdogo kabisa kafa katika ajali hiyo! Lol! Afruika tuna riho mbaya na umwinyi mwingi.
Mola atusamehe!