Ajali ya Treni na Lori kati ya Machinga Complex na Mataa ya Chang'ombe

Ajali ya Treni na Lori kati ya Machinga Complex na Mataa ya Chang'ombe

Mimi mbona sijaelewa! Machinga complex si ipo Ilala na Chang'ombe iko Temeke, huu uhusiano Wa sehemu hizi 2 umetoka wapi? Wanaume Wa Dar hebu nisaidieni, au na Temeke nako kuna Machinga complex?

amejaribu kuelewesha mahali ajali imetokea.yupo sahihi.na ametaja mataa ya chang'ombe na ndipo wilaya zimetengana.barabara ya pugu imetenganisha wilaya hzo mbili.na inatokea mataa ya tazara mpaka kamata.
 
Mimi mbona sijaelewa! Machinga complex si ipo Ilala na Chang'ombe iko Temeke, huu uhusiano Wa sehemu hizi 2 umetoka wapi? Wanaume Wa Dar hebu nisaidieni, au na Temeke nako kuna Machinga complex?

Yuko sahihi.
 
Utelezi magari mengi yanapotea njia;
Pole kwa wahanga wote.
 
Mimi mbona sijaelewa! Machinga complex si ipo Ilala na Chang'ombe iko Temeke, huu uhusiano Wa sehemu hizi 2 umetoka wapi? Wanaume Wa Dar hebu nisaidieni, au na Temeke nako kuna Machinga complex?

Hizo reli zipo kati ya taa za kuongoza magari ambapo Chang'ombe road inapoanzia na Machinga complex ambapo ni krb na mwisho wa Kawawa road. Kuna njia 3 pale za treni. Na hiyo barabara ya kwenda airport/city center ndio mpaka wa hizo wilaya 2.
 
Hapo mpaka trafik aje apime ajue yup mwenye makosa itachukua muda.

Mwanangu train huwa haikosei hata siku moja, hata kama dereva atakuwa amelewa akikugonga Wewe ndo umeligonga!! Sheria zingine bwana!!
 
Hizo reli zipo kati ya taa za kuongoza magari ambapo Chang'ombe road inapoanzia na Machinga complex ambapo ni krb na mwisho wa Kawawa road. Kuna njia 3 pale za treni. Na hiyo barabara ya kwenda airport/city center ndio mpaka wa hizo wilaya 2.

Asante Mkuu!
 
Mimi mbona sijaelewa! Machinga complex si ipo Ilala na Chang'ombe iko Temeke, huu uhusiano Wa sehemu hizi 2 umetoka wapi? Wanaume Wa Dar hebu nisaidieni, au na Temeke nako kuna Machinga complex?
Ukiishi Tanzania hasa Dar es Salaam inabidi upunguze matumizi ya 'utaratibu' bali kama alivyosema mkulu unachanganya na zako. Kwa maana hiyo hata aina ya uandishi na mleta mada haupishani sana na dereva wa treni, lori na waliojenga barabara!

attachment.php
 
Ukiishi Tanzania hasa Dar es Salaam inabidi upunguze matumizi ya 'utaratibu' bali kama alivyosema mkulu unachanganya na zako. Kwa maana hiyo hata aina ya uandishi na mleta mada haupishani sana na dereva wa treni, lori na waliojenga barabara!

attachment.php

Hapo mwenye makosa ni mmoja tuu naye ni dereva wa lori...treni hupiga honi toka mbali na hiyo ni njia yake hivyo huyo dereva wa lori ana makosa alipaswa kusubiri mpaka treni ipite.
 
Nimeshindwa kuchukua zile shot zenyewe coz nilikuwa kwenye gari, no Lori la unga wa ngano;NYATI, limekanyagwa vibaya ila kisheria sasa tunasema gaei ndo imegonga.
 
Hapo mwenye makosa ni mmoja tuu naye ni dereva wa lori...treni hupiga honi toka mbali na hiyo ni njia yake hivyo huyo dereva wa lori ana makosa alipaswa kusubiri mpaka treni ipite.
Ninachoona hapa bila kujali nani mwenye kosa ni kuwa treni imehama kwenye njia yake, au sio?
Kwa maana hiyo shughuli ya kuliondoa hapo huenda ikachukua muda mrefu na hapo wazee wa 'mchakato' lazima waangukie kwenye 'kufa kufaana', deal nje nje!

 
Mimi mbona sijaelewa! Machinga complex si ipo Ilala na Chang'ombe iko Temeke, huu uhusiano Wa sehemu hizi 2 umetoka wapi? Wanaume Wa Dar hebu nisaidieni, au na Temeke nako kuna Machinga complex?
Manjagata, machinga complex na taa za chang'ombe zimeunganishwa na Kawawa road lakini Kawawa road ina cross reli kitaalamu tunaita LEVELCROSSING hivyo ukikuta barabara sehemu yoyote imekatisha reli, sehemu hiyo iite levelcrossing, inaweza ikawa Mandela levelcrossing, Buguruni levelcrossing ama Vingunguti levelcrossing nk. Kuhusu kugongana kwa gari na train, kimsingi hakuna kugongana, ila kuna train kugongwa kwasababu train imetungiwa sheria na bunge mwaka 1962 ili kuilinda na sababu kubwa, muhimu na ya msingi ni kuwa train haina mbadala wa njia, njia yake ni ya kudumu (PERMANENT WAY) na sehemu zenye msongamano kama hapa Kawawa levelcrosing ilipotokea hii ajali pana flagmen ambao wanazuia magari yasimame train inapopita lakini pia kuna alama za tahadhari kabla ya kuvuka reli.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Hapo mpaka trafik aje apime ajue yup mwenye makosa itachukua muda.

tren huwa haina makosa na sidhani kama huwa inashughulikiwa na trafic. bali mwenye gari alitakiwa kuchukua tahadhari anapokaribia reli. Yaan madereva wa nchi hii ni shida sana. akili zao kama za kuku
 
Back
Top Bottom