LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
Jipange upya hata hueleweki ulikuwa unataka kusema nini!! hapa tunahitaji Taarifa na Habari za uhakika na kama unaona source yako sio reliable kaa kimya kuna member mwingine atakuja kupost habari inayojitosheleza.
Unatoa masharti hayo wewe kama nani?
Kwenye vyombo vya habari tena vya kulipia, habari mara kadhaa sio kamilifu sembuse hii uliyoletewa bure.