Officer2009
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 560
- 110
Breaking news toka Kili Fm ni kuwa ndege ya abiria imeanguka na kuua. Sikupata kuisikiliza habari hii kikamilifu kwani mtoto alikuwa anasumbua. Mwenye full habari atujulishe how it happened.
yaani taarifa ulete wewe halafu habari utuulize sisi!! Sielewi jf inaelekea wapi!! Kwani ni lazima uharakie kupost kabla ujapata full data?
...kuna mtu aliota humu kuhusu ajali ya ndege!
Jamani, sio kwamba nimeota ajali ya ndege. Ni kweli ndege imeanguka KIA na kuua, ila kama hamuamini, subirini taarifa ya habari saa mbili usiku.
Aliekwambia kwamba Taarifa na Habari huwa zinapatikana tu saa 2 usiku ni nani!!?? nini kazi ya Bloggers na social network?Jamani, sio kwamba nimeota ajali ya ndege. Ni kweli ndege imeanguka KIA na kuua, ila kama hamuamini, subirini taarifa ya habari saa mbili usiku.
Kawaida huwa wanafanya simulation za emergency preparedness wakishirikisha kcmc na mawenzi hospital kama sehemu ya maandalizi. Ngoja tusubiri na mie nimesikia Kili fm wamesema quater airway na sina hakika kama hutua uwanja wa Kia.
Hilo ni shirika la ndege la nchi gani? au ulimaanisha Qatar Airways?Kawaida huwa wanafanya simulation za emergency preparedness wakishirikisha kcmc na mawenzi hospital kama sehemu ya maandalizi. Ngoja tusubiri na mie nimesikia Kili fm wamesema quater airway na sina hakika kama hutua uwanja wa Kia.
...kuna mtu aliota humu kuhusu ajali ya ndege!
Aliekwambia kwamba Taarifa na Habari huwa zinapatikana tu saa 2 usiku ni nani!!?? nini kazi ya Bloggers na social network?
...kuna mtu aliota humu kuhusu ajali ya ndege!
Jipange upya hata hueleweki ulikuwa unataka kusema nini!! hapa tunahitaji Taarifa na Habari za uhakika na kama unaona source yako sio reliable kaa kimya kuna member mwingine atakuja kupost habari inayojitosheleza.Kama ulijua habari zinapatikana kwenye social Network mbona ulianza Kumpinga? JF imetapakaa kila mahali hata KIA wapo member na pengine wameshuhudia Tukio zima na wanaweza kutupa kwa ufasaha zaidi, kakupa source na kakwambia hakusikia kwa makini kwa kua dogo alikua anasumbu sio kila kitu unacrtisize.