Ajali ya ndege KIA

Ajali ya ndege KIA

Jamani kama ni kweli tupe habari, je ni ndege ya shirika gani, ilikuwa na watu wangapi, ilikuwa inatokea wapi, je imetokeaje, watu wangapi wamefariki na je kuna waliopona?

na ndo maana huwa mnadanganywa, mna haraka sana na habari, so far alieanzisha huu.uzi hajui chochote na anasema hajasikia vizuri, inawezekana hajaskia chochote.
 
Jamani ilikuwa ni mazoezi kujua response ya mahospitali na sio ajali,lakini siku ingne wawe waangalifu m2 kama mwanao ametoka kusafiri huo muda si utapata wazimu,
 
ni ndege ya vasco.hivyo kesho hakuna kazi.
 
Mbona tunachoshana humu? kama mtu Huna taarifa kamili kaa kimya
 
Peopl 2po makin kujuzwa xo acha a2pe full data na siyo kumdis.
 
Hakuna ajali yoyote. ni mazoezi ya uokoaji kwa ajili ya kuwaweka sawa watu wa uokoaji.
 
Back
Top Bottom