Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Umeona, eh? Mwendo nao haukuwa wa kawaida. Ukiwa barabarani assume watumiaji wengine wa barabara ni vichaa. Na kweli kuna vichaa - kuna walevi, wavuta bangi, madawa ya kulevya, mbuzi, ng'ombe, nk. Endesha kwa mwendo ambao kichaa/mnyama akitokea, basi unaweza simama ama usipoweza simama basi athari zitakuwa siyo kali.
R.I.P...ila hizi noah huwa ziko speed 120 hata maeneo ya speed 30..
Angekuwa hata speed 80 hapo hiyo gari isingekuwa kama can ya coca cola, iliyofinyangwa! Aisee hatari na nusu!
Everyday is Saturday............................