Ajali ya chopa: Kamanda Kova ameonesha udhaifu

Ajali ya chopa: Kamanda Kova ameonesha udhaifu

Joined
Nov 15, 2012
Posts
38
Reaction score
70
Jana katika vyombo vya Habari na magazeti ya leo Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova amenukuliwa ‘akijigamba' kuwa alikuwa wa kwanza kuruka kutoka katika Helikopita iliyopata ajari.

Ndani ya ndege hiyo alikuwemo Makamo wa Rais Dkt. Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi Dkt, Magufuli na watu wengine.


Napata shida sana kumuelewa Kova. Atawezaje kutoka ndani ya chopa na kumuacha Makamo wa Rais? Watawezaje kutoka kwenye ndege na kumwacha Mkuu wa Mkoa ambaye ndie mwenyekiti wake wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?

Jambo hili analoliona kwake ni ujasiri ni fedheha kwa askari. Ni raia tu (ambaye hajapa mafunzo ya kijeshi) anaweza kufanya hivi na kasha kujisifu kuwa nijasiri.
 
Nadhani ni uelewa mdogo wa viongozi wetu, hapa ndio tumapima vigezo na hekima ya uongozi. Angapaswa kukaa kimya
 
Ndo wabongo hao alaf yeye anaona sifa,mazoea hayo,kuishi kwa kwa kukariri huko
 
Anavyopenda sifa na kusema uongo, ndivyo anavyoishi. Ukisikia maneno ya Dr.Bilali ya ya Kova utadhani hawakuwa katika chombo kimoja.
 
Jana katika vyombo vya Habari na magazeti ya leo Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova amenukuliwa ‘akijigamba’ kuwa alikuwa wa kwanza kuruka kutoka katika Helikopita iliyopata ajari.

Ndani ya ndege hiyo alikuwemo Makamo wa Rais Dkt. Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi Dkt, Magufuli na watu wengine.


Napata shida sana kumuelewa Kova. Atawezaje kutoka ndani ya chopa na kumuacha Makamo wa Rais? Watawezaje kutoka kwenye ndege na kumwacha Mkuu wa Mkoa ambaye ndie mwenyekiti wake wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?

Jambo hili analoliona kwake ni ujasiri ni fedheha kwa askari. Ni raia tu (ambaye hajapa mafunzo ya kijeshi) anaweza kufanya hivi na kasha kujisifu kuwa nijasiri.

Hapo kila mtu alikua anatetea maisha yake chezea kifo wewe. Hapo kila mmoja alikua na ulinzi wake.
 
Hapana chezea kifo ww nakumbuka tetemeko bungeni alivyokimbia bsumaye

Mkuu kibinadamu ye yote angeweza kuchukua hatua aliyochukua Kova lakini kwa kujisifia ndiyo kaonyesha udhaifu, hasa ikichukuliwa kuwa yeye ni askari!
 
Jana katika vyombo vya Habari na magazeti ya leo Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova amenukuliwa ‘akijigamba’ kuwa alikuwa wa kwanza kuruka kutoka katika Helikopita iliyopata ajari.

Ndani ya ndege hiyo alikuwemo Makamo wa Rais Dkt. Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi Dkt, Magufuli na watu wengine.


Napata shida sana kumuelewa Kova. Atawezaje kutoka ndani ya chopa na kumuacha Makamo wa Rais? Watawezaje kutoka kwenye ndege na kumwacha Mkuu wa Mkoa ambaye ndie mwenyekiti wake wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?

Jambo hili analoliona kwake ni ujasiri ni fedheha kwa askari. Ni raia tu (ambaye hajapa mafunzo ya kijeshi) anaweza kufanya hivi na kasha kujisifu kuwa nijasiri.

Mkuu naona unamchambua Ndg yangu Kamanda Suleimani Kova, anajisifia kujiokoa binafsi amesahau kuwa alitakiwa kuwa mtu wa mwisho baada ya kufanya rescure opperation ya wakubwa zake!!! Hao ndio makamanda wetu tulio nao TZ!! Je, unategemea nini kama akiwa na makabwera fulani hivi, Si atakimbia mita bila ya kuangalia nyuma??

 
Umenikumbusha zamani kuwa mlinzi wa kiongozi inabidi awe tayari kufa kwa ajili ya kumkinga bosi (mfano kwa risasi) lakini leo JK mwenyewe anakwambia ukiacha maji na kutoka dakika moja hukirudi unayahofia! Tutajua kila kila aliye mkuu na aliye dhaifu ni suala la muda tu.
 
Hahahaha umenikumbusha kipindi cha kesi ya jerry muro. Kova alivyokuwa ana muhukumu jerry kwa waandishi wa habari hadi akafukuzwa kazi tbc mwisho wa siku jerry muro alishinda kesi kwa kishindo
 
Jana katika vyombo vya Habari na magazeti
ya leo Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova
amenukuliwa ‘akijigamba’ kuwa alikuwa wa kwanza kuruka kutoka katika
Helikopita iliyopata ajari.

Ndani ya ndege hiyo alikuwemo Makamo wa Rais Dkt. Bilal, Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi Dkt, Magufuli na watu wengine.


Napata shida sana kumuelewa Kova. Atawezaje kutoka
ndani ya chopa na kumuacha Makamo wa Rais? Watawezaje kutoka kwenye
ndege na kumwacha Mkuu wa Mkoa ambaye ndie mwenyekiti wake wa Kamati ya
Ulinzi na Usalama?

Jambo hili analoliona kwake ni ujasiri ni fedheha kwa askari. Ni raia tu
(ambaye hajapa mafunzo ya kijeshi) anaweza kufanya hivi na kasha
kujisifu kuwa nijasiri.

Aliwahi kuipigia saluti maiti ya Kanumba!
 

Mkuu naona unamchambua Ndg yangu Kamanda Suleimani Kova, anajisifia kujiokoa binafsi amesahau kuwa alitakiwa kuwa mtu wa mwisho baada ya kufanya rescure opperation ya wakubwa zake!!! Hao ndio makamanda wetu tulio nao TZ!! Je, unategemea nini kama akiwa na makabwera fulani hivi, Si atakimbia mita bila ya kuangalia nyuma??


Sio kukuimbia tu, kama ni ziwani basi Dr Bilali angenyang'anywa boya au kukabwa na Kova kuvaa boya na kujiokoa.
 
Aliwahi kuipigia saluti maiti ya Kanumba!
image31.png
 
Swali la kijinga sana

Weee kwenye kifo utaweza kupata muda wa kufikiria mwenzako?

Hata unaposafiri na ndege wanasema jisaidie kwanza wewe halafu ndio uwafikirie wengine, ingelipuka unadhani kungekuwa na muda wa kubebana?

Kama huamini ngoja yakukute ndio utajua kuwa ajali sio mchezo na akili yako haiwezi kuwa sawa kwa sababu lazima uchanganyikiwe labda uwe komando...
 
huyu jamaa ukimuangalia vizuri ni kama hayupo vizuri upstairs! sijui ni nani uwa ana mpandisha vyeo hadi kufikia kuwa CP
 
na majambazi wakivamia nyumbani kwake atajisifia tu kua alikua wa kwanza kukimbia akawaacha mke na familia
 
hana maadili na kazi yake hicho ndo kipimo!!wakati yeye alitakiwa a act kama bodyguard wa wakuu wake shame sana hii
 
Back
Top Bottom