Ajali ya Behewa la Machuma imesababisha Foleni kubwa hapa Kituo cha SGR

Ajali ya Behewa la Machuma imesababisha Foleni kubwa hapa Kituo cha SGR

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wakuu!

Kuna behewa lililokuwa limebeba machuma limeanguka hapa Kituo cha SGR, Dar es Salaam na kusababisha foleni kubwa ya magari eneo hilo.


 
Sisi hatujui upo mkoa Gani? Ambao SGR inapatikana?? Tueleze vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom