Ajali: Treni yaangusha Mabehewa maeneo ya Vingunguti

Mkuu usiwaamini sanaviongozi wetu!

Wakishaingia madarakani tu, hata kama ni maprofesa akili zao wanazivua na kubaki kama watu ambao hawajangia darasani!

Ha ha ha ha.. Mkuu ninalijua hilo.. Umeshindwa kuona sarcasm kwenye sentensi yangu Mkuu..

Sifa kuu ya viongozi wetu ni sio kutosema ukweli tu.. bali ni waongo kwisha kazi.. Serikali imekuwa muongo namba moja..
 
Ha ha ha ha.. Mkuu ninalijua hilo.. Umeshindwa kuona sarcasm kwenye sentensi yangu Mkuu..

Sifa kuu ya viongozi wetu ni sio kutosema ukweli tu.. bali ni waongo kwisha kazi.. Serikali imekuwa muongo namba moja..

Let's hope kuwa tutafanikwa kuipumzishwa ifikapo 2015....
 
Mkuu kwani walivyosema Desember walitaja na mwaka..?
Ndiyo walitaja. Tamko lilitolewa mwezi Oktoba (mwaka huu) na kusema kuwa itakuwa tayari kuanza kazi ndani ya miezi mitatu. Kwa hesabu zangu za ngumbalu mwisho wa miezi hiyo mitatu sana sana inaweza kwenda mpaka Januari 2015 si zaidi ya hapo. Lakini mada haikuwa hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom