Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,159
- 16,243
Kila kinachoanguka watanzania wanakimbilia sijui likianguka gari ka maji taka watakimbilia?
Sasa si umepata habari kupitia hao hao waliokimbilia?
Kila kinachoanguka watanzania wanakimbilia sijui likianguka gari ka maji taka watakimbilia?
Kwani ile yake ya umeme itapita kwenye reli hii Mkuu..?
Umeme wa nyumbani hauaminiki. Huo wa kuendesha treni watautoa wapi?!
Ya umeme inapita angani? Nielimishe. Iliripotiwa kuwa itaanza kazi mwezi Desemba. Hiyo reli na mfumo wa umeme wake uko wapi?Kwani ile yake ya umeme itapita kwenye reli hii Mkuu..?
Ya umeme inapita angani? Nielimishe. Iliripotiwa kuwa itaanza kazi mwezi Desemba. Hiyo reli na mfumo wa umeme wake uko wapi?
Ha ha ha ha.. wamesema viongozi wetu hivyo..
Mkuu usiwaamini sanaviongozi wetu!
Wakishaingia madarakani tu, hata kama ni maprofesa akili zao wanazivua na kubaki kama watu ambao hawajangia darasani!
Ha ha ha ha.. Mkuu ninalijua hilo.. Umeshindwa kuona sarcasm kwenye sentensi yangu Mkuu..
Sifa kuu ya viongozi wetu ni sio kutosema ukweli tu.. bali ni waongo kwisha kazi.. Serikali imekuwa muongo namba moja..
Kwa hiyo ile ya Mwakembe leo haitafanya kazi?au siyo wakuu?nidandie daradara kabisa..
Ndiyo walitaja. Tamko lilitolewa mwezi Oktoba (mwaka huu) na kusema kuwa itakuwa tayari kuanza kazi ndani ya miezi mitatu. Kwa hesabu zangu za ngumbalu mwisho wa miezi hiyo mitatu sana sana inaweza kwenda mpaka Januari 2015 si zaidi ya hapo. Lakini mada haikuwa hiyo.Mkuu kwani walivyosema Desember walitaja na mwaka..?