.....hujaota; ata na mie Bus la juzi kudumbukia niliipata, wakati naona uzi huu nilifikiri ndo huo wa juzi umejirudia kumbe Siyo; haya ma-Bus ya Raha Leo nayo yameishachoka uwezo wa kupanda mlima ni tabu lakini pia Breki ni matatizo. Pole kwa waliopata madhara.hili basi si kuna lingine juzi juzi hapa liliripotiwa kutumbukia mto huo huo..........?....au naota jamani....?
Madereva wa sasa ni viroba kichwani bonge la njia iweje aingie mtoni? Dereva kalewa gongo haa sawa hyo?
wakuu somen vizuri kichwa cha habari.kasema yeye ndio amedumbukia mtoto wami
Mbna tunatishiana sasa mm nko Tanga kwa mapumziko ya Idd sasa nitarudi vp maana uoga ushaniingia
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tumekusoma km huko ta kwa mapunziko!!!
Source ni mimi mwenyewe nimepita hapo sasa hivi,sijasimama kuchukua taarifa za madhara sababu na mimi nina mgonjwa nakimbia kuokoa maisha yake.