Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
mto wami pale darajani kina ni kifupi sana unatembea tu, wala si kuogelea
afadhali unitoe wasiwasi maana......nikifika pale huwa napatwa na mawazo sana.........
mto wami pale darajani kina ni kifupi sana unatembea tu, wala si kuogelea
afadhali unitoe wasiwasi maana......nikifika pale huwa napatwa na mawazo sana.........
afadhali unitoe wasiwasi maana......nikifika pale huwa napatwa na mawazo sana.........
We unakurupuka tu kutokea guest house na kuita watu wazushi sio?
Kwa hiyo ukisafiri mikoani unabeba na nyumba yako? si kila anayelala gest hana nyumba ama familia ndio maana zinaitwa nyumba za wageni.Ukilala guest wewe haimaanishi kila mtu analalaga huko. Wengine tumeoa aisee tunalala nyumbani.
Nisome vizuri uzi wangu nilikua namjibu nani kisha urudi hapa.
Kwa hiyo ukisafiri mikoani unabeba na nyumba yako? si kila anayelala gest hana nyumba ama familia ndio maana zinaitwa nyumba za wageni.
Bora umesema ukweli ngoja tumwambie jamaa yetu aifute hii thread au AKANUSHENimetoka Tanga saa moja kamili leo tar 10 aug 2013 baada ya kusoma hii ikabidi nisimame wami niangalie...kweli wami pako deep lakini basi likitumbukia lazima sehemu yake ionekane na kama nilivyokwambia huu mto unakingo ambapo kabla ya kuingia mtoni huwa unazigonga kwanza zinavunjika ndio unatumbukia lakini hizi kingo ziko sawa kabisa hazijavunjika....hii habari kama imekuja kwa manufaa ya kibiashara kuharibiana.