Haha, hiyo naijua, huyu alikuwa anapewa mashart ya kuroga. TuIsome hapo juu, nimekuwekea link, kumbe ilikuwa ni chezo tu![]()
Huwa tunaita kuanguka... But actually sio kuanguka ni kurudishwa chini... Kama vile emergency landing....funguka kidogo najua kuna vitu unavifahamu hapa, pia mbona wakianguka hawavunjiki hata ukucha tu
Mfano nikihamua kupiga hvyo hvyo...ujoto ujoto unakuwepo mzee mwenzangu?anabaki gogo huwezi kujua... Utakachogundua ni kwamba kalala fofofo
Duuu aisee...Ladha itakuwa tofauti mno na hutaenjoy kabisa
Alikuwa safarini akakutana na nguvu kubwa kuliko mashine yake.... Chombo yake ikaishiwa nguvu akafanya emergency landing
Mngeniita mimi nije kupiga shoo ya kufa mtu hapoHaliwi kama chakula ndugu yangu