Ajali: Mwendokasi lagonga bodaboda na kumuua Tip Top

Haya magari yatakuwa na shida mbona yanagonga kwenye kivuko Cha waendao kwa miguu??​
 
Apumzike kwa amani ndugu yetu bodaboda

Ukute yeye ndio baba na tegemeo la familia. Pole sana kwa wafiwa.
 
ila dah boda boda hatari sana, jana nilikuwa maeneo ya mbezi mwisho nimemuona dada mmoja kaumia sana kwenye magoti mpaka huruma ila jaman bodaboda ni noma sana unaweza ukapelekwa ahera bila kupenda
 
Ajali imetokea muda huu.

Ni katika stand ya mwendokasi Tip Top manzese. Ajali huyo ilihusisha bodaboda na gari ya mwendokasi.
Taarifa kutoka eneo la tukio ni kwamba bodaboda alikatisha kwenye zebra ya mwendokasi akiwa anaendesha ili kuhamia. Gari la mwendokasi likakosa break na kumgonga muhusika.

Chanzo. Mimi mwenyewe
Sawa suka pole sana andaa faini ya 60 elfu kesi imeisha hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom