AJALI: Msafara wa Prof. Muhongo wapata ajali

AJALI: Msafara wa Prof. Muhongo wapata ajali

Rais ana msafari mkubwa kuliko viongozi wote serikalini..

Rais awe mtu wa kwanza kuonyesha mfano, kwani Yeye binafsi msafara wake akiwa kwenye ziara unachukua zaidi ya magari 15 ya serikali.
mnataka kumuuwa kirahisi...hapunguzi msafara ng'oo
 
Mzee wa site masaa yote yuko kwenye miradi, kusema kweli huu ndo utendaji unaotufaa. Badala ya kushinda airport ni mara mia ukashinda site kwa kushtukiza, inalipaaaaaaa.
 
kuna matatizo ya kimfumo na kero,sasa TANESCO ni tatizo la kimfumo hapa nchini,na kukatika kwa umeme ni kero sugu, nilikuwa nataka kujua ulikuwa unampongeza kwa kuzingatia kigezo cha uwepo wake site ama unakigezo binafsi?
 
Hivi tanzania kweli sijui tukoje vyanzo vyote tulivyo navyo bado tanesco wananunua umeme kwa makampuni kweli
 
kuna matatizo ya kimfumo na kero,sasa TANESCO ni tatizo la kimfumo hapa nchini,na kukatika kwa umeme ni kero sugu, nilikuwa nataka kujua ulikuwa unampongeza kwa kuzingatia kigezo cha uwepo wake site ama unakigezo binafsi?
Kuwa mwajibikaji kwa kufika mwenyewe na kuonesha njia, hilo tu mkuu ..mfatilie kimya kimya utamwelewa.
 
Back
Top Bottom