Malaika ni malaika tu.Duh hapo hata angekuwa malaika haponi
Hahhaha mambo ya jogoo kudonoa punje tano ndo yamewasili kaka!!!Makambako? Mmiliki? Mambo ya Punje Hayo #Ndele_Ngende_At_Work_MKinga.
Mkuu ulikuwa na speed camera na breathlyzer wakati ajali inataka kutokea?Hiyo ajali imekua mbaya sana kutokana na speed aliyokua nayo..halaf n usiku..ukute alikua maji mengi..Tuombe mwisho mwema
R.I.P BRO