Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,107
- 173,900
Sasa kwa mzinga huo unafikiria hata ungekuwa kwenye benz ungepona. Ajali ni kitu kingine mkuu, na hizo porojo za kudanganyana kuwa sijui gari flani lipo safe flani sio safe kwenye ajali ni ama kupona ama kifo!Hizi gari za m-japani ni shidaaa..
Kuna mtu alileta uzi humu kuhusu uimara mdogo wa gari za m-japani....wapo waliomtolea povu kweli
Kwa uhalisia gari iliopo safe ni kifaru tu mzee ingawa hakinaga airbag. Kama unaweza nunua maana ni chuma tupu na hakiwaki moto!