Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,480
Nasoma kwa furaha habari za wachimba madini 33 waanaookolewa huko Chile baada ya ajali iliyowafungia chini ya ardhi kwa miezi miwili.
Najiuliza hivi Tanzania tunakosea wapi? Kwa nini sisi hatuwezi kufanya rescue mission kama hii? Ni umaskini unaosababisha hili? Mbona migodi inatoa fedha nyingi tu ? Ni kutoweka kipaumbele katika maswala ya usalama? Ni kumtegemea mungu kupita kiasi ?
http://www.nytimes.com/2010/10/14/world/americas/14chile.html?hp
Najiuliza hivi Tanzania tunakosea wapi? Kwa nini sisi hatuwezi kufanya rescue mission kama hii? Ni umaskini unaosababisha hili? Mbona migodi inatoa fedha nyingi tu ? Ni kutoweka kipaumbele katika maswala ya usalama? Ni kumtegemea mungu kupita kiasi ?
http://www.nytimes.com/2010/10/14/world/americas/14chile.html?hp