RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
Wakuu kuna taarifa kwamba mwamba umefunika watanzania wenzetu mgodi wa Bulyankulu-Kahama. Mtu mmoja confirmed dead.
Wenye contacts na Kahama watusaidie taarifa zaidi maana mtu alonijuza yupo kwenye timu ya uokoaji hivyo hawezi kufanya mawili kwa wakati mmoja.
Wenye contacts na Kahama watusaidie taarifa zaidi maana mtu alonijuza yupo kwenye timu ya uokoaji hivyo hawezi kufanya mawili kwa wakati mmoja.