TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,872
- 11,248
Wakuu hebu tuache kusikitika pekee...
Mwenye details za namna ya kufikisha cash or advisory support atupe... Hii ni serious na we dont want to lose that smiling face (tena pamoja na kuungua kote) ya huyo mtoto
I would rather support huyu dogo kuliko wale wagogo wanaokaa kwenye traffic light
How do we get contacts, hasa kwa tulio nje ya Dar?
Mwenye details za namna ya kufikisha cash or advisory support atupe... Hii ni serious na we dont want to lose that smiling face (tena pamoja na kuungua kote) ya huyo mtoto
I would rather support huyu dogo kuliko wale wagogo wanaokaa kwenye traffic light
How do we get contacts, hasa kwa tulio nje ya Dar?