Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Ajali imetokea mchana huu maeneo ya Ruaha Mbuyuni ikihusisha gari ndogo pamoja na Lori.
Wenye Mamlaka watatoa taarifa kamili.
====
UPDATE;
JamiiForums imefanya mazungumzo na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, ALex Mukama aliyethibitisha kutokea kwa vifo 4 na majeruhi 3 waliopelekwa Hospitali ya Mikumi kwa Matibabu ambapo mmoja wao karuhusiwa.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 alfajiri baada ya gari ya Magazeti aina ya Noah iliyoparamia Lori lililokuwa limeharibika na kulingonga kwa nyuma.
Amewashauri Madereva kuzingatia Sheria za Usalama Barabarani na kuendesha vyombo vyao kwa mwendo unaruhusiwa ili kuepusha ajali zisizo za lazima.
Wenye Mamlaka watatoa taarifa kamili.
====
UPDATE;
JamiiForums imefanya mazungumzo na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, ALex Mukama aliyethibitisha kutokea kwa vifo 4 na majeruhi 3 waliopelekwa Hospitali ya Mikumi kwa Matibabu ambapo mmoja wao karuhusiwa.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 alfajiri baada ya gari ya Magazeti aina ya Noah iliyoparamia Lori lililokuwa limeharibika na kulingonga kwa nyuma.
Amewashauri Madereva kuzingatia Sheria za Usalama Barabarani na kuendesha vyombo vyao kwa mwendo unaruhusiwa ili kuepusha ajali zisizo za lazima.