Mzee wa mate mboni unasifu na kuabudu mambo ya ajali watu wameumia wamekufa unajua
Wapi hukomkuu kama hujui hisi schoolbus usiku zinabebaga abiria pale mbezi zinasaidia kiasi flan sijajua hii ilikuwa na abiria??
Polen majeruhi jaman mda wakuomba na kusali na kama huna ulazima wakukaa mtaan mpaka usiku wahi kwako mapema hali sio nzuri
Jana vijana wawili saa mbili na usiku wamekatwa katwa huku kwetu n wanafunzi wakachykuliwa laptop zao
Wamejeruhiwa sana uwaangalii marambili
Sio gati tu hadi watuu wameingiwa na rohoo za mauti mwishon mwa mwaka
Allah atunusuru
Sikuamini, picha ziko wapi.....ikiwezekana tuwekee na majeruhi pia.Habari za muda huu,
Kuna habari mbaya ajali kimetokea Mbezi Luguruni jirani kabisa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, mida hii school bus limelikwepa gari ya mizigo iliyosimama ghafla KWENYE mataa na kuwagonga wa fanya biashara na bodaboda na bajaj, hivi natokea Mloganzila walipoletwa majeruhi kama kumi habari na picha njtawaletea ikifika Luguruni..
🚮🚮We nawe fala kweli,kwani akitaja idadi ya majeruhi anakuwa kavunja sheria gani?ushakalilishwa kuongopewa kila kitu, au serikali tu ndio yenye wajibu wakutaji idadi ya wahanga wa kila tukio? Eti
Bado hujafika tu ili utuletee picha kama ulivyotoa ahadi? Punguza mihemkoHabari za muda huu,
Kuna habari mbaya ajali kimetokea Mbezi Luguruni jirani kabisa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, mida hii school bus limelikwepa gari ya mizigo iliyosimama ghafla KWENYE mataa na kuwagonga wa fanya biashara na bodaboda na bajaj, hivi natokea Mloganzila walipoletwa majeruhi kama kumi habari na picha njtawaletea ikifika Luguruni..