Ajali mbaya Mbezi Luguruni mida hii

Ajali mbaya Mbezi Luguruni mida hii

Kila siku wanaambiwa acheni kukaa /kufanya biashara pembezoni mwa barabara.
Pole kwa majeruhi wapone haraka waendelee na majukumu yao
Ni kweli japo wanatafuta riziki zao ni hatari sana. Huwa nikipita maeneo ya Mbagala huwa ninajiuliza sana wale wamama na watu wengine wanaokaa barabarani kabisa kiasi kwamba gari zinajibana na kuwapisha wao na nyomi la watu huwa ni hatari sana.
 
Ni kweli japo wanatafuta riziki zao ni hatari sana. Huwa nikipita maeneo ya Mbagala huwa ninajiuliza sana wale wamama na watu wengine wanaokaa barabarani kabisa kiasi kwamba gari zinajibana na kuwapisha wao na nyomi la watu huwa ni hatari sana.
Pale mbagala ni suala la muda siku lianguke container akili itawakaa sawa
 
Waafrika hasa watanzania wana kufa sana kutokana na ujinga, uzembe, upumbavu, kutofuata sheria na siasa uchwara.

Kuishi Afrika tu, Ni hatari sana kwa uhai na usalama wako.
 
mkuu kama hujui hisi schoolbus usiku zinabebaga abiria pale mbezi zinasaidia kiasi flan sijajua hii ilikuwa na abiria??
Polen majeruhi jaman mda wakuomba na kusali na kama huna ulazima wakukaa mtaan mpaka usiku wahi kwako mapema hali sio nzuri

Jana vijana wawili saa mbili na usiku wamekatwa katwa huku kwetu n wanafunzi wakachykuliwa laptop zao

Wamejeruhiwa sana uwaangalii marambili

Sio gati tu hadi watuu wameingiwa na rohoo za mauti mwishon mwa mwaka
Allah atunusuru
 
Back
Top Bottom