Habari za muda huu,
Kuna habari mbaya ajali kimetokea Mbezi Luguruni jirani kabisa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, mida hii school bus limelikwepa gari ya mizigo iliyosimama ghafla KWENYE mataa na kuwagonga wa fanya biashara na bodaboda na bajaj, hivi natokea Mloganzila walipoletwa majeruhi kama kumi habari na picha njtawaletea ikifika Luguruni..
Kuna habari mbaya ajali kimetokea Mbezi Luguruni jirani kabisa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, mida hii school bus limelikwepa gari ya mizigo iliyosimama ghafla KWENYE mataa na kuwagonga wa fanya biashara na bodaboda na bajaj, hivi natokea Mloganzila walipoletwa majeruhi kama kumi habari na picha njtawaletea ikifika Luguruni..