Hata picha ya magari yaliyopata ajali?Majira ya saa kumi na moja asubuhi kumetokea ajali mbaya sana eneo la Mbezi Beach Afrikana.
Gari aina ya Nissana xtrail au Honda ikiwa inatokea Mwenge imegonga kwa nyuma truck na kuungua hapohapo.
Kwa mujibu wa mashuhuda watu wawili waliokuwemo ndani ya gari wamefariki kwa moto wakiwa ndani.
Kwa adabu zangu sitoweza kuweka wala sikupiga picha.
Majira ya saa kumi na moja asubuhi kumetokea ajali mbaya sana eneo la Mbezi Beach Afrikana.
Gari aina ya Nissana xtrail au Honda ikiwa inatokea Mwenge imegonga kwa nyuma truck na kuungua hapohapo.
Kwa mujibu wa mashuhuda watu wawili waliokuwemo ndani ya gari wamefariki kwa moto wakiwa ndani.
Kwa adabu zangu sitoweza kuweka wala sikupiga picha.
Kwani gari za siku hizi hazina taa???!barabara kati ya mwenge na tegeta usiku inaua sana na hii inatokana na giza kali kwenye njia hiyo taa zinahitajika kumwezesha dereva kuona pande zote za barabara
Kwani gari za siku hizi hazina taa???!
Tukubaliane na sababu zake kwanza...hivi gari ikilipuka moto watu huwa inakuwaje kuhusu milango....Hata picha ya magari yaliyopata ajali?