Ajali mbaya Mbezi Afrikana

platozoom

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
9,548
Reaction score
11,532
Majira ya saa kumi na moja asubuhi kumetokea ajali mbaya sana eneo la Mbezi Beach Afrikana.

Gari aina ya Nissana xtrail au Honda ikiwa inatokea Mwenge imegonga kwa nyuma truck na kuungua hapohapo.

Kwa mujibu wa mashuhuda watu wawili waliokuwemo ndani ya gari wamefariki kwa moto wakiwa ndani.

Kwa adabu zangu sitoweza kuweka wala sikupiga picha.




 
Asante kwa kuonyesha umepevuka kifikra.
 
Hata picha ya magari yaliyopata ajali?
 
Hapana hukututendea haki kwa kuchuja habari, ulipaswa kupiga Picha na kutuwekea ili tuone, jambo la msingi ungetuonya kuwa Tafadhali kama huna roho ngumu usifungue, rip marehemu
 
barabara kati ya mwenge na tegeta usiku inaua sana na hii inatokana na giza kali kwenye njia hiyo taa zinahitajika kumwezesha dereva kuona pande zote za barabara
 


Na kwanini ulitaka kupiga picha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…