Ajali mbaya Kibamba - Dar

Ajali mbaya Kibamba - Dar

Ni hatari!. Yote mipango ya Mungu. Tuwaombee waliofariki Mungu awasamehe dhambi zao, wapumuzike kwa Amani, Amina


hivi mungu huwa anapanga matukio mabaya jamani?

mmmh poleni sana wafiwa mungu awape nguvu na ujasiri
 
Dah sili nyama wiki nzima.
mmmh inatisha kwakweli.
 
Mungu wangu wasamehe dhambi zao,mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.
 
Jesus christ, jamani jamani....................
 
Poleni sana wafiwa. Mungu awatie nguvu katika wakati huu mgumu.

Wapumzike kwa amani.......
 
Pole nyingi kwa ndugu na jamaa wote wa marehemu, kwa vyovyote vile hawa ni ndugu zetu waliokuwa wana wahi shughuli za ujenzi wa taifa letu changa. Kwa bahati mbaya wakati wenza wao kikazi wakiwasubiri janga hili linawatokea.

Mungu wasamehe dhambi zao kwa kifo hiki cha ghafla, japo imeandikwa hatujui siku wala saa.

Imenisikitisha sana.
 
Mungu Wangu!

Raha ya milele uwape ee Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie.
Wapumzike kwa Amani.
Amina!
 
Nimeona picha za ajali hii, ukweli nimetokwa na machozi, zinasikitisha jamani! Oooh! Jesus Christ help us please
 
Kunasemekana kutokea vifo vingi... Hili ni jambo la kusikitisha, idadi ya waliokufa ikipatikana nitakufahamisheni
7 ppl mkuu wa kaya ya jf


...lori likiwa limeangukia hiace ikiwa kama chapati..





...sura ya ajali hiyo nyuma ya lori...angalia jinsi hiace ilivyo!

..
jamani jamani, hili daladala liligongwa? au lilikuwa limepaki barabarani? ooooh inauma sanaaaaaaaaaaa!
 
Mungu wangu.........! Ni pigo kubwa sana kwa Watanzania wote. Pamoja tuwaombee marehemu na tujitokeze kuwafariji wafiwa wote pale inapowezekana.
 
Tatizo la madreva wetu wanakesha baa wanakaa macho guest! udereva ni proffesion kama nyingineza mtatumaliza!
 
Mungu weka roho za marehemu mahali pema peponi, Amin
 
Ni majonzi ya kutisha kabisa. Yaani mtu unaogopa hata kuendesha gari yako, unajitahidi kuchukua tahadhari zote ila dereva mzembe anakuchukulia maisha yako. So sad. Picha zimenipa hofu kubwa sana. Naomba nisizikumbuke wakati nikiwa njiani naendesha kwani ukiona lori au daladal unaweza kupaki pembeni kabisa. Kwa hakika nikiwa naendesha nakuwa makini sana na malori, daladala na siku hizi pikipiki (ikiwemo vya miguu mitatu a.k.a vichenge).
 
Back
Top Bottom