Natumaini Mh. Rais umeona hali hii inavyotisha. hapa si kandaar au Somalia, hapa ni maili chake kutoka Ikulu au kwenye makazi yako Lugoda. Mh Rais, natumaini kama mzazi na mwenye mapenzi na raia wako utaweza kukaa chini na baraza lako la mawaziri pamoja na watendaji wengine wa serikali yako na kufanya maamuzi mazito kwa ajili ya kuboresha miundo mbinu na tukianza na hii bara bara ambayo ni kiungo kikuu cha nchi hii na nchi jirani [ umuhimu wa bandari na uchumi wa nchi]. Mh Rais, bara bara hii imepitwa na wakati na inabidi tuwekeze zaidi kwenye hii barabara na kuongeza utawala wa sheria katika watendaji wako pamoja na wananchi kwa ujumla.
RIP waliofariki. Poleni wafiwa na watanzania wote.
Shadow.
RIP waliofariki. Poleni wafiwa na watanzania wote.
Shadow.