mungu azipokee roho za marehemu na kuwatia nguvu wafiwa!
mi nimechoka kuona watu wanakufa kila siku kwa ajili zinazoweza kuzuiliwa!
hivi sisi tunajiita magreat thinkers,naamini humu ndani kuna wasomi wa aina zote na wa level zote,hivi kwa nini tusiandike japo barua ya wazi kwa wahusika tuwaeleze jinsi tunavyokereka na kuishi roho juu as if we r in a combat zone!
hasa wkt huu ambapo wanaelekea kuchaguliwa upya hebu tujaribu japo kuwaandikia barua ya wazi!
we have to try to stop this,hata tukilia haisaidii lazima kitu kifanyike jamani!
ka rahisi vile! sasa mathaklani lori limelalia kipanya unafanyaje ni udogo wa barabara au bad driving
eeh? this is horrible, God help us.humu ndo kulikuwa na mama mjamzito nae kafa ee! duh jamani weee, barabara zitatumaliza