Itakuwa ccm tu hao
Kweli miaka 50 ya uhuru imetefikisha mbali, Enzi zetu taarifa kama hii unaiskia baada ya wk tatu... leo unaipta within 5 minits ..Na ..Zaidi ... unaombwa kuweaka Picha ... Rahaaa kwelikweli ...!!
Poleni wote mliopatwa na ajali!!
Itakuwa ccm tu hao
bora ata wewe b e maana huyu mzee wa .mia ni noma kwa vibwagizo..