Ajali mbaya katika eneo la King'ori Mkoani Arusha

Ajali mbaya katika eneo la King'ori Mkoani Arusha

Mkuu kuna watu kazi yao ni kuropoka tu ili mradi na yy aandike..no this is not good..
Huyu jamaa ni mchaga wa machame.na alikuwa na mke wake alikuwa anaelekea Lyamungo kuwaona wazazi wake..anamiliki maduka mawili ya spare pale Arusha na hii gari ni ya rafiki yake..yeye anamiliki stalet..

Gari ni ya kwake na alinunua kwa pesa yake.. Wewe kama unadhani kununua gari kama hiyo ni mpaka ustaafu basi pole sana

Hiyo gari ni Land rover lakini Gogo la choo anasema sio lake ni la rafiki yake huku Steph Curry anasema ni gari yake na amenunua kwa pesa yake.
Utata mwingine huu.
 
Last edited by a moderator:
Mbona umekazania sana hili swala kuliko kawaida watu wamepoteza maisha basi, hayo ya visingizio sijui ngono hayana nafasi.

Sasa ikisemwa kwamba hakuna ajali iliyotokea itakuwa kweli?
Maelezo yenu yana utata, itakuwaje mmoja aseme kuwa alutoka kwa shemeji yake huku mwingine aseme alitoka kwa mama yake halafu wote kwa pamoja mnamnyoshea kidole mleta mada kuwa ni muongo?
 
Dah!! masikini kadada kazuri katoto kao kazuri kakijana katanashati wameacha katoto kadogo inasikitisha sana poleni wafiwa ndugu,jamaa na marafiki.
 
i think the driver is stupid!! and as per now if he aint in the hospital his probably in hell and our dear burial service are trying to dig a grave for this mofo this morning R.I.P Range Rover!!

Hapo kwenye red, mbona mimi nimeona kama ni Land Rover? Au yote ni sawa? Haka ka bwana mdogo katakuwa kalikuwa kameutwika, macho yanaonekana ni ya ka-mtu kalevi masaa yote!!
 
Sasa ikisemwa kwamba hakuna ajali iliyotokea itakuwa kweli?
Maelezo yenu yana utata, itakuwaje mmoja aseme kuwa alutoka kwa shemeji yake huku mwingine aseme alitoka kwa mama yake halafu wote kwa pamoja mnamnyoshea kidole mleta mada kuwa ni muongo?

Ajali ni kweli imetokea hyo ya kutoka sijui kwa Shemeji sijui kwa mama hakuhalalishi uzushi wa mleta mada sijawahi ona watu wakingonoka huku wakiendesha hyo ni impossible . huyo mleta mada ka ana bifu na marehemu aseme na wewe unamtetea sijui umekuja kivingine.
 
Hiyo gari ni Land rover lakini Gogo la choo anasema sio lake ni la rafiki yake huku Steph Curry anasema ni gari yake na amenunua kwa pesa yake.
Utata mwingine huu.

Mkuu hizo taharifa nimepewa na rafiki yake huyo jamaa.. Alichoniambia ni kwamba kapata ajali na gari yake mpya. Inasemekana hiyo gari kainunua kwa huyo mshkaji wake siku si nyingi, hayo mengine siyajui maana mwenyewe nimeambiwa tu na watu wake wa karibu.
 
Huyu aliyekuwa naye ni mkewe wa ndoa na ni kijana anaitwa Emanueli Massawe na alikuwa anatoka Arusha kwenda Moshi Machame Lyamungo Kati labda alipata dharura ya mgonjwa( may be parent) no one knows.

Lakini SI KWELI KUWA ALIKUWA ANAFANYA MAPENZI NDANI YA GARI!! . Wote mke na mume walifariki on sport na maiti iko Mt. Meru Hospital Hii ni reliable source).

Ajali ilitokea majira ya saa 3 usiku barabara ya Arusha- Moshi maeneo ya kati ya King'ori na Kikatiti.

Asante mkuu kwa kuweka sawa Habari
 
Hata hapa ni utata mwingine, ufafanuzi tafadhari.
kwa wale watako penda kushirikiana na sisi katika wakati huu mgumu kwetu tutaupumzisha mwili wa marehemu wetu siku ya jumatano nyumani kwa marehemu lyamungo kati 1/07/2015
 
Hapa naona malumbano tuuuuuuuuu,
kuna watu waliwahi kusema Mama Nyerere amekufa kwa kuhisi kitu tuu.
Sasa inawezekana mleta mada wa mwanzo kama asingeleta huu uzi hata kama kimakosa basi ingeenda kimya kimya.
Lakini Baada ya kuleta ndio watu wameibuka.

Mpaka sasa hakuna anaeeleza chanzo cha ajali,kila mmoja amekimbilia kulaumu mleta post tuuu.

Maana hapo nikiingalia gari mbele ipo vizuri kiasi ila kuanzia kwa drivers ndio majanga,sasa inawezekana ni mwendo kasi then gari ikabinuka.Ni mtizamo tu.

Hembu sasa tuje kwenye chanzo cha ajali ndio tungependa kujua.
Kwa ambae amewahi kuendesha zile salon za baloon au Mark X nikwamba kila unapoenda kasi ndio inakupa raha,sasa ni sawa na Land Rover
 
Mleta mada atakuwa hana akili timam hasa kwa kuhusisha ajali na kufanya mapenzi jambo ambalo haliwezekani na yy hakuwa kwenye gari. Inhetosha tu ku report ajali. Inaonyesha alikuwa kwenye speed kali sana maana gari limeharibika sana. Pumzika kwa amani brooo.
 
Ingekuwa tumekaa mahali mleta mada akaleta hoja kama hii ningemnasa makofi.
 
Wewe mwenyewe hujui ukweli wa tukio hilo lakini unakiri kuwa watanzania wanapika uongo, au wewe sio mtanzania?

Mkuu vipi..?! Ukweli ni kwamba kumetokea ajali na watu wawili wamepoteza maisha. Ukweli upi zaidi ya huo unaoutaka! Watu wengine....khaa!! hadi kero
 
Mleta mada atakuwa hana akili timam hasa kwa kuhusisha ajali na kufanya mapenzi jambo ambalo haliwezekani na yy hakuwa kwenye gari. Inhetosha tu ku report ajali. Inaonyesha alikuwa kwenye speed kali sana maana gari limeharibika sana. Pumzika kwa amani brooo.
Hata kupeana denda pia ni kufanya mapenzi.
(lakini sijasema marehemu walikuwa wakifanya hivo)
 
Huyo mdada mzuri na wana katoto kazuri sana

1.MZURI WA SURA, UMBILE AU TABIA?
2.Wazuri hawatakiwi kufa?
3.Katoto kazuri ndiyo kasikotakiwa kuwa yatima?
Siku nyingine jifunze kuandika sentensi zisizo tata.
 
Back
Top Bottom