Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,973
- 54,101
Poleni sana wafiwa, huyo kijana alikuwa na shughuli gani? maana ni bwana mdogo ila gari ni ya bei mbaya.
Kwao kuna mfereji wa hela
Poleni sana wafiwa, huyo kijana alikuwa na shughuli gani? maana ni bwana mdogo ila gari ni ya bei mbaya.
Kwao kuna mfereji wa hela
roho imeniuma sana baada ya kuona picha yao
ni maumizi sana kwa ndugu zao hasa wakifikiria namna walivyowatoka gafla
Kwahiyo unataka tuamini kuwa hawakuwa wakifanya mapenzi kwa sababu tu ni mtu na mkewe? kipi kinaweza kuwazuia kufanya hivyo ikiwa walikuwa wenyewe kwenye gari yao?
Unawezaje kuthibitisha kuwa mleta hii habari amesema uongo wakati kwa akili ya kawaida tu inaonesha hakukuwa na mtu mwingine zaidi yao wawili tu?
Unapomwambia abadili habari unataka aandike vipi? unajuaje kama hakuwepo kwenye eneo la tukio hadi useme abadilili habari? au unataka abadili kwa kuwa ni ndugu yako, na kwa habari hiyo itaharibu taswira yenu kama ndugu?
poleni sana kwa msiba mkuu,nini chanzi cha hiyo ajari?
Watanzania wanamiliki viwanda vya kutengeneza uongo-JK
Vijana wadogo pesa ipo, gari ya bei mbaya!!!!!
Ila taarifa ya ajali yao bado ni utata, maana ikisemwa walikuwa wanafanya mapenzi kulitakiwa kuwe na alama za ushahidi namna miili yao ilivyoonekana, labda kwa mfano kuna condom iliyotumika, walikuwa watupu au kuna mtu aliwaona japo naye anaweza akaulizwa wakati anawaona yeye alukuwa wapi?
pole yao wafiwa na marehemu wote wapokelewe kwa sar God!
Ila uchunguzi ufanywe, unawezakuta walishaanza 'kugombania Ka Land Rover', Maanake watu wa Kaskazini bana!
ref: Ufoo..
pole yao wafiwa na marehemu wote wapokelewe kwa sar God!
Ila uchunguzi ufanywe, unawezakuta walishaanza 'kugombania Ka Land Rover', Maanake watu wa Kaskazini bana!
ref: Ufoo..
Hebu jaribu kushirikisha ubongo wako.. Umeshawahi hata kuendesha gari mkuu?? Hivi unaweza ukawa kwenye speed kubwa tena usiku alafu ukafanya mizaha kama hiyo kwenye gari?? Maana hilo gari lilivyoharibika ni wazi lilikuwa kwenye speed si chini ya 100.. Kama walikuwa wanafanya hivyo lazima wangekuwa kwenye speed ya kawaida na damage isingekuwa kubwa hivyo..
Usiamini maneno ya mleta mada hao ni wanandoa kabisa wasifanye mambo yao nyumbani wakafanyie kwenye gari huko ni kuchafua marehemu. Nawapata sana hawa waliofariki hawawezi kufanya huo ujinga na sijui kwanini mnakimblia kuwahuku kuwa walikua wana sex
Mbaya zaidi huyo mdada umri ulikua mdogo bado na huyo kijana. Pia wameacha mtoto mdogo
Usiamini maneno ya mleta mada hao ni wanandoa kabisa wasifanye mambo yao nyumbani wakafanyie kwenye gari huko ni kuchafua marehemu. Nawapata sana hawa waliofariki hawawezi kufanya huo ujinga na sijui kwanini mnakimblia kuwahuku kuwa walikua wana sex
Kila kitu ni maamuzi tu, angetaka hata kuligongesha kwa makusudi hakuna kinachomzuia.
Hayo unayosema ni assumption tu, hivi mtu akiwa amelewa anaweza asifanye hayo ya kuendesha kwa speed kali na romance juu(sisemi walikuwa wamelewa).
Mkuu kuna watu kazi yao ni kuropoka tu ili mradi na yy aandike..no this is not good..
Huyu jamaa ni mchaga wa machame.na alikuwa na mke wake alikuwa anaelekea Lyamungo kuwaona wazazi wake..anamiliki maduka mawili ya spare pale Arusha na hii gari ni ya rafiki yake..yeye anamiliki stalet..
aliye leta hizi tarifa kanihuzunisha sana ndugu kwa kuandika uwongo mkubwa sana kuwa walikuwa wanafanya mapenzi wakati alitoka kumuona shemeji shemeji yake wakati wakurudi arusha ndiyo wakapatwa na hilo janga nimtu na mke wake tangu wameowana ni mwaka wa tatu huu inauma sana kuona mtu anaandika uwaongo nimemuomba abadilishe maandiko yake ili kumtendea haki marehemu na sisi ndugu zake
Mkuu kuna watu kazi yao ni kuropoka tu ili mradi na yy aandike..no this is not good..
Huyu jamaa ni mchaga wa machame.na alikuwa na mke wake alikuwa anaelekea Lyamungo kuwaona wazazi wake..anamiliki maduka mawili ya spare pale Arusha na hii gari ni ya rafiki yake..yeye anamiliki stalet..
Hata hapa ni utata mwingine, ufafanuzi tafadhari.