Ajali mbaya katika eneo la King'ori Mkoani Arusha

Ajali mbaya katika eneo la King'ori Mkoani Arusha

Naona kama ni wadada wawili tofauti.
hapana huyu Dada (RIP) ni yuleyule maana hawa wazaliwa wa maeneo hayo ya Bomang'ombe Lyamungo na hasa waislamu wana asili ya kisomali au kihabesh, hapo naona kanenepa baada ya kumpata mtoto.
Mungu awalaze mahali pema peponi
mwenye habari za hako katoto atujuze, au kalibaki nyumbani huko Lyamungo?

attachment.php

Huyo dada ni naye ni mchagga mkuu?
jamaa yangu kweli unatuchangamsha au ww ni MTANI wa wachagga?
ukiangalia pua, kifua, midomo (Lips) si Mchagga asilia km nilivyosema hapo juu eneo hili liliingiliwa na Wasomali wanajeshi walioacha vita baada ya Vita vya 2 Dunia
kwanza wape REST IN PEACE kwanza
 
hapana huyu Dada (RIP) ni yuleyule maana hawa wazaliwa wa maeneo hayo ya Bomang'ombe Lyamungo na hasa waislamu wana asili ya kisomali au kihabesh, hapo naona kanenepa baada ya kumpata mtoto.
Mungu awalaze mahali pema peponi
mwenye habari za hako katoto atujuze, au kalibaki nyumbani huko Lyamungo?

attachment.php


jamaa yangu kweli unatuchangamsha au ww ni MTANI wa wachagga?
ukiangalia pua, kifua, midomo (Lips) si Mchagga asilia km nilivyosema hapo juu eneo hili liliingiliwa na Wasomali wanajeshi walioacha vita baada ya Vita vya 2 Dunia
kwanza wape REST IN PEACE kwanza

Yeye ni mchagga wa aina gani na hao asilia wakoje?
 
Poleni sana wafiwa nilivyosoma nilijua mleta mada nae alikuwa kwenye gari sasa alijuaje kuwa w anafanya mapenz wakati hakuwepo ? Niwe mkitoa taarifa sahihi zenye uhakika R I P

labda walikutwa watupu
 
Aisee sie wanga bado tupo live mida hii ya saa saba.
Weekends hizi na madem kwenye gari ni balaaa.

Unajua kuna kipindi baadhi ya watu wanajisahau na kuamua ku romancika ndani ya gari,na gari lenye ni SUV,kazi kubwa sana.

Utakuta hana Bima hapo ndio balaa,na kama kaazima ndio balaa zaidi,lazima auze nyumba

Nilijua tu we ni MGALA.
Mnfnssssss.

Watu wamepoteza maisha we unaleta upuuzi wako wa kuongelea Uzinifu unaofanya kwenye magari mabovu na malaya wa mjini.
Una laana we mtoto.
Hivi kanisani hujajifunza kuwa Zinaa ni dhambi?
 
Hawafanani kabisa......
utata mwingine.....

Wanafanana sema hapo Mwanamke alikuwa bado hajazaaa ss ile pic ya mwanzo alikuwa bint ss hivi kazaa mambo ya uzazi tena mitori na soup siunajua wachaga ndo kanenepa ukisema na lotion kidogo ndo mana ila mtoto kafanana na jamaaa . Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema pepon
 
Nafuu tuwe tunaandika kiswahili au tunauliza kabla kuweka maneno ya Kingereza humu. Neno sahihi ni lipi? "Right Off" au "Written Off" ...
Kiingereza ndio lugha ya kujionesha kuwa tumesoma. Sasa tufwanyeje wajameni? Maneno haya yanawachanganya sana watu kwakuwa sauti zake zinakaribiana sana: write/right, sight/site/cite, light/lite, see/sea, saw/sow, did/deed, live/leave, short/shot, nk nk Ila kama ulivyosema kama kiingereza chako hakijakaa vizuri na mada iliyopo hewani ipo kwa kiswahili, ni bora kutumia kiswahili kuliko hiyo lugha ya wenyewe.
 
Yeye ni mchagga wa aina gani na hao asilia wakoje?
hapana huyu Dada (RIP) ni yuleyule maana hawa wazaliwa wa maeneo hayo ya Bomang'ombe Lyamungo na hasa waislamu wana asili ya kisomali au kihabesh, hapo naona kanenepa baada ya kumpata mtoto.
Mungu awalaze mahali pema peponi
nilishaeelezea Post #121
km unahitaji nikuwekee picha za dada wa Kichagga asilia niambie au ingia Google
 
Ajali mbaya imetokea usiku huu mbele ya eneo la King'ori mkoani Arusha (Haijafahamika mara moja kuwa kuna majeruhi wa ngapi/vifo).

Inadaiwa kuwa dereva wa gari alikuwa na mpenzi wake na walikuwa wanaendelea na mambo yao hadi dereva akajisahau na kugonga jiwe lililokuwa pembezoni mwa barabara na gari kupinduka kama linavyoonekana kwenye picha.

Kwa taarifa zaidi na maelezo ya kina tutayapata baadae au asubuhi.




View attachment 264258
Hivi mke sio mpenzi wako?
 
Back
Top Bottom