NDANGA
Member
- May 19, 2014
- 53
- 27
Hujasoma maelezo mkuu
mbona hii ijali kama nmeiona ngulelo na siyo kingori kama mlete mada alivyosema
Mkuu mbona King'ori sio Mwanga??? Nna shaka na taarifa yako
Kuna watu hapa Jukwaani wanashikiliwa mawazo na wenzao, nani kasema Mwanga hakuna eneo linaloitwa King'ori?