Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,986
Kuna ajali mbaya imetokea muda wa saa 10 alfajiri ya leo eneo la Mwidu ktk njia ya Morogoro - Dar.
Kuna watu waliofariki. Ajali hii imepelekea foleni kubwa sana lakini traffic wanajitahidi kuruhu magari baada ya wanajamii kuitoa miili iliyokuwa imenasa kwenye fuso.
Kuna watu waliofariki. Ajali hii imepelekea foleni kubwa sana lakini traffic wanajitahidi kuruhu magari baada ya wanajamii kuitoa miili iliyokuwa imenasa kwenye fuso.