Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Baada ya "kufurahishana" na kila mmoja kutosheka, mara lahaula !,...badala ya kumwita mamsapu kwa jina lake, linakutoka jina la msichana mwingine kabisaaaa...
Utamjibu vipi Madame ambaye tayari uso keshaukunja, kawiva kama nyanya, anakukodolea macho hapo kitandani na maswali mfululizo..."umeniita nani?, ... nakuuliza jina langu hulijui siyo? umemkumbukia mwanamke wako?... huyo ulomtaja ndiye nani?... kwanini umtaje hapa!?"...