totoadela
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 370
- 1,111
Naunga mkono hojaDaah hawa Madereva wa bus ni hatari sana huwa hawaoni hatari mbele yao wanakua mwendokasi na hawaogopi gari yeyote iliyo mbele yao na wana makadirio kidogo sana ukiwa na gari ndogo ni rahisi kusubiri lipite ila sio gari kubwa...inatakiwa iwepo fine kubwa kwa Bus linasobabisha ajali hata kuwalipa wahanga kama Zambia au Zimbabwe huo upuuzi utapungua sana..