Haya mabasi ya Saibaba kwa taarifa tu ni kwamba popote utakapoliona tazama nyuma kwa juu upande wa kulia kuna kitambaa cheusi sijui cha nini,nilikua nabisha lakini ilibidi nitolee macho baadhi ya mabasi yao nikagundua ni kweli! Kuhusu hili la moto tusubiri tume iundwe!
Haya mabasi ya Saibaba kwa taarifa tu ni kwamba popote utakapoliona tazama nyuma kwa juu upande wa kulia kuna kitambaa cheusi sijui cha nini,nilikua nabisha lakini ilibidi nitolee macho baadhi ya mabasi yao nikagundua ni kweli! Kuhusu hili la moto tusubiri tume iundwe!
Hakuna Saibaba linalokwenda Mtwara labda Masasi....!!
Kulambila bwana!
Kweli bwana wewe........zote zinazoenda huko siku hizi zinaenda Masasi na sio Mtwara!!
kuja Mtwara