Basi la Mwendokasi lateketea kwa moto Kibamba

Basi la Mwendokasi lateketea kwa moto Kibamba

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,602
Reaction score
22,707
Basi la Mwendokasi limeteketea kwa moto usiku huu eneo la Kibamba mkoani Dar es Salaam.

20231226_223804.jpg
20231226_223636.jpg
 
Aisee haya magari huwa hayakaguliwi na trafiki. Kuna haja ya kuyafanyia ukaguzi haya magari wa mara kwa mara maana hayapiti ktk macho ya trafiki tusije tukapepea nusu mlingoti.
Sidhani kama ukaguzi wa trafic utasaidia. Pia kwa ukaguzi wa hayo mabasi hakuna mlo kwa trafic kwa hiyo kazi hiyo sio kipaumbele
 
Back
Top Bottom