Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Basi la Mwendokasi limeteketea kwa moto usiku huu eneo la Kibamba mkoani Dar es Salaam.
Aisee haya magari huwa hayakaguliwi na trafiki. Kuna haja ya kuyafanyia ukaguzi haya magari wa mara kwa mara maana hayapiti ktk macho ya trafiki tusije tukapepea nusu mlingoti.Basi la Mwendokasi limeteketea kwa moto usiku huu eneo la Kibamba mkoani Dar es Salaam.
View attachment 2854032View attachment 2854033
Sidhani kama ukaguzi wa trafic utasaidia. Pia kwa ukaguzi wa hayo mabasi hakuna mlo kwa trafic kwa hiyo kazi hiyo sio kipaumbeleAisee haya magari huwa hayakaguliwi na trafiki. Kuna haja ya kuyafanyia ukaguzi haya magari wa mara kwa mara maana hayapiti ktk macho ya trafiki tusije tukapepea nusu mlingoti.
injini nyumaBasi la Mwendokasi limeteketea kwa moto usiku huu eneo la Kibamba mkoani Dar es Salaam.
View attachment 2854032View attachment 2854033
Basi la Mwendokasi limeteketea kwa moto usiku huu eneo la Kibamba mkoani Dar es Salaam.
View attachment 2854032View attachment 2854033
Ameteketea na yeye 🤭Mleta Uzi mbona hujibu maswali.?
AiseeeBasi la Mwendokasi limeteketea kwa moto usiku huu eneo la Kibamba mkoani Dar es Salaam.
View attachment 2854032View attachment 2854033
Ameteketea na yeye
Labda mleta uzi ni miongoni mwa abiria waliokuwepo ndani ya basi. Hivyo huenda na yeye ameteketea na moto.Mleta Uzi umetelekeza Uzi wako huku...unataka akujibie nani
Mleta uzi kateketea haa jamani watu itakuwa kaenda kutoa msaadaAmeteketea na yeye
Chachu Ombara Yuko Mbagala huko kwa wamakonde atajibu vipi ajali iko Kibamba?Mleta Uzi mbona hujibu maswali.?