Ajali basi la Hood

Ajali basi la Hood

Vivax

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
522
Reaction score
186
Basi la kampuni ya Hood limepata ajali baada ya kupiga mweleka Inyala Mbeya kutokana na mwendo kasi mkubwa na overtaking.

=====
Is true, nimepita hapa nikiwa kwenye coaster naelekea Mby, tumeliona basi la Hood limelalia ubavu na kuna traffic police pia watu kadhaa wamelizunguka, sijajua ni la kuelekea wapi. So bad, Mungu atuepushe na ajali hizi, Hood ni mabasi yangu kwa route ya Mby Arusha mara kwa mara.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
10 minutes ago HUD BUS LAPIGA mweleka inyala mbeya
kisa,overtaking @ high speed

Picha tafadhali,pia fafanua ajali ilikuwaje kuwaje na kuna msaada wowote uliotolewa mpaka sasa? Vp hali za majeruhi na kama kuna aliepoteza maisha,plz tujuze
 
Mhhh Hood sasa inataka kua kama Sumry au Mohammed Trans
 
Why always Hood ?
mwenye hood awe kama Baloteli ajiulize why always me ?????
 
yes this is too much, nadhani kwa kipindi kati ya November 2013 to date hii kampuni inaweza kuwa imesababisha ajali zaidi ya 5, kuna Same,Hedaru,Mbeya, Same, etc, SUMATRA kunjueni mikono tafadhali
Why always Hood ?
mwenye hood awe kama Baloteli ajiulize why always me ?????
 
Poleni sana majeruhi pia Mungu awapokee ikiwa km vifo vipo.
 
u mean HOOD right?!
mungu awaponye majeruhi
 
10 minutes ago HUD BUS LAPIGA mweleka inyala mbeya
kisa,overtaking @ high speed

Hood Bus au Hud Bus???

Hata hivyo hapo Inyala ni pabaya sana kutokana ule mtelemko mkali ukichagizwa na kona...

Mungu awape afya marejuhi kama wapo
 
Is true, nimepita hapa nikiwa kwenye coaster naelekea Mby, tumeliona basi la Hood limelalia ubavu na kuna traffic police pia watu kadhaa wamelizunguka, sijajua ni la kuelekea wapi. So bad, Mungu atuepushe na ajali hizi, Hood ni mabasi yangu kwa route ya Mby Arusha mara kwa mara.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hood Bus au Hud Bus???

Hata hivyo hapo Inyala ni pabaya sana kutokana ule mtelemko mkali ukichagizwa na kona...

Mungu awape afya marejuhi kama wapo
Siyo kwenye ule mteremko, ni stendi huku juu kabisa kama unaelekea Dar baada ya kupita ile miteremko, ni mahali pazuri tu, most likely alichomekewa ku-overtake.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
10 minutes ago HUD BUS LAPIGA mweleka inyala mbeya
kisa,overtaking @ high speed

hivi kuovertake ni kosa kisheria?
Nauliza tu bandugu. unawezaje kuovertake kwa speed sawasawa na gari/pikipiki unalokusudia kuliovertake.

MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE.
 
hivi kuovertake ni kosa kisheria?
Nauliza tu bandugu. unawezaje kuovertake kwa speed sawasawa na gari/pikipiki unalokusudia kuliovertake.

MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE.

linaweza kuwa kosa kisheria kama ume-overtake sehemu isiyoruhusiwa......au umeo-overtake bila kuzingatia usalama kulingana na mazingira[kosa la uzembe]
 
Siyo kwenye ule mteremko, ni stendi huku juu kabisa kama unaelekea Dar baada ya kupita ile miteremko, ni mahali pazuri tu, most likely alichomekewa ku-overtake.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Mmh!! unamaanisha ni hapo juu kabisa ukiwa unakaribia Uyole?
 
linaweza kuwa kosa kisheria kama ume-overtake sehemu isiyoruhusiwa......au umeo-overtake bila kuzingatia usalama kulingana na mazingira[kosa la uzembe]

RRONDO,uko sawa! !!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom