Hood kaanza tena kuua watu? Mabasi yenyewe hayana insurance. Poleni majeruhi, mungu awaponye mapemaMtu 1 amefariki na wengine 27 wamejeruhiwa kufuatia ajali ya basi la Hood lililokuwa linatoka Mbeya kwenda Arusha kupinduka eneo la Melela Mlandizi barabara ya Morogoro Iringa kufuatia dereva kushindwa kulimudu wakati anakata kona. Source: RADIO1 STEREO
Sasa wapi acha kukariri..kabla ya kufika morogoro kuna sehemu inaitwa melela mlandiziUmechanganya Melela iko Moro na mlandizi iko Pwani. Ni maeneo yakl tofauti.
Umechanganya Melela iko Moro na mlandizi iko Pwani. Ni maeneo yakl tofauti. Sasa wapi mkuu?
Hood kaanza tena kuua watu? Mabasi yenyewe hayana insurance. Poleni majeruhi, mungu awaponye mapema
Mleta mada yupo sahihi kwa sababu melela imeganwanyika sehemu mbili nazo ni Melela-nzuri na melela-mlandizi.Umechanganya Melela iko Moro na mlandizi iko Pwani. Ni maeneo yakl tofauti. Sasa wapi mkuu?
Ujingaaaa mtupuuu
Mleta mada yupo sahihi kwa sababu melela imeganwanyika sehemu mbili nazo ni Melela-nzuri na melela-mlandizi.
Mabasi yanayo toka mbeya kwenda Arusha. Si yanapindia Chalinze? Mlandizi lilikuwa linaenda wapi?
Melela mlandizi iko barabara ya morogoro~iringa sio mlandizi ya pwani hii. Tembeeni muone
Ujingaaaa mtupuuu