Mtu 1 amefariki na wengine 27 wamejeruhiwa kufuatia ajali ya basi la Hood lililokuwa linatoka Mbeya kwenda Arusha kupinduka eneo la Melela Mlandizi barabara ya Morogoro Iringa kufuatia dereva kushindwa kulimudu wakati anakata kona. Source: RADIO1 STEREO