Mkuu Dactari na Mwalimu umewaonea,this is charity work kaka,no wito kama wito mwingine japo wachache wanautumia ndivyo sivyo,but 90% am telling you wanajitolea kikoree.
😂😂 Ww kwel kichwa maji, kwahy Mm sio mbaga.?
Nmejiunga JF hata simjui mtu yeyote humu.
Tatizo umeshikiwa akili na watu humu akiwemo huyo uliyemtaja Tuliza papa hilo.