moblaze
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 231
- 27
duh, sitaki kuamini kama bado anataka kutuangamiza. kaka chenge we are real sorry...tuonee huruma watanzania wenzako we si unanyumba nyingi na pesa ya kutosha? nakushauri ukaishi kwenye nyumba yako nyingi. Don't tell me tutawalipa Dowans vijisenti ni pesa nyingi mzee tuangalie tutakuwa wapi kama sasa ivi hali bado tata. kuwa na huruma!Mbunge wa Bariadi pamoja na tuhuma nzito zinazo onyesha negative atitude kwa WATZ kama vile tuhuma dhidi ya rada, kumiliki mabilion ya fedha nje ya nchi, kutia mkono wa kumuondoa spika SITTA aliye pendwa na WATZ wengi kuwa spika wa Bunge Leo napata habari mbaya kwetu kuwa CHENGE amepeleka ushauri mzito wa kisheria ili DOWANS walipwe sh. 94 bil. (source GAZETI LA NIPASHE) CHENGE kama kuna kosa WATZ wamekufanyia basi wasamehe bure !!!! Mbona wao awnakupenda wamekupa ubunge (kama hukuchakachua) kuonyesha wanakupenda tusamehe tu hata kama una mgawo DOWANS
moblaze