sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Ndio maana China kesi kama hizi wnakunyonga tu, na ndo maana watu wanakuwa wanafanya kazi kwa interest za Nchi na wala sio binafsi,
Tunasaini mikataba ya kupinga Hukumu ya kifo then watu wanakuwa wazebe na kufanya wanavojisikia, Hava ni shenz type kabisa, Kama watuhumiwa wa ufisadi wangekuwa wananyongwa basi tungekuwa hatusiii watu kuwa wabadhilifu kwani hakuna mtu anaependa kuwahishwa,
Yani tanzania ya leo kila ukisikiliza media ni lazima utakutana na Habari ya ubadhilifu wa fedha kwanzia ngazi ya chini Hadi Juu!
Tutafika tu!
Tunasaini mikataba ya kupinga Hukumu ya kifo then watu wanakuwa wazebe na kufanya wanavojisikia, Hava ni shenz type kabisa, Kama watuhumiwa wa ufisadi wangekuwa wananyongwa basi tungekuwa hatusiii watu kuwa wabadhilifu kwani hakuna mtu anaependa kuwahishwa,
Yani tanzania ya leo kila ukisikiliza media ni lazima utakutana na Habari ya ubadhilifu wa fedha kwanzia ngazi ya chini Hadi Juu!
Tutafika tu!