Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,897
- 3,705
Hivi wanaume wa Dar nani aliyewaroga?
Jamaa kaja home kukaa siku mbili tu kaja na chupi nane hadi nikashtuka, nikajiuliza jamaa anableed au?
Yani wanaume wa Dar ni hasara kwa Taifa.
Jamaa kaja home kukaa siku mbili tu kaja na chupi nane hadi nikashtuka, nikajiuliza jamaa anableed au?
Yani wanaume wa Dar ni hasara kwa Taifa.
