mi dada yangu nilikuwa namlinda sana baadaye nikamchoka,cha kutakiwa unamweleza tu ukweli wa mambo na madhara yake,
ila maamuzi mwachie yeye
Nitampandishia kibesi na nitamwambia nampa miezi miwili awe kashaleta posa,vinginevyo nikiwagumia tena watakwenda kuchekea chooni. Nalog offkwa sisi tunaoishi uswahilini. Kwenye chochoro.
Nitafurahi sana, nitajua kumbe dada yangu nae mzuri?Je, ukimfumaniwa dada yako kwenye kona akibambiwa. Utachukua uamuzi gani?.
Mimi binafsi.
Nitakimbia sana, sitapenda hata wajue kuwa nimewaona ili tuzidi kuheshimiana.
Kwetu hatuna dada ,madume saba!
Ili tuwabambie wenyewe. Nalog offkila mwenye dada hakosi shemeji.
Hutaki dada yako abambiwe ili iweje?