donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Hahaha, pointHahahaha vyuma vimekaza hatarii, hao watakuwa wapare....
Ila kuliko kutumia gharama kuwasha gari ili iminye dawa ya meno bora kutumia mkaa au chumvi mradi usikutue sana ili usiwe na harufu mdomoni.
Ever Smiling Kasie.
Acha ushangingi
Utafunumuka marinda
mkuu sky una utani wa fujo...Una uhakika si m-Pare huyo?
Nitakupoteza
Ah ah ah ah ah ah Usipende Sana kuwachokoza Wakwe ZakoHahahaha vyuma vimekaza hatarii, hao watakuwa wapare....
Ila kuliko kutumia gharama kuwasha gari ili iminye dawa ya meno bora kutumia mkaa au chumvi mradi usukutue sana ili usiwe na harufu mdomoni.
Ever Smiling Kasie.
HahahahaSawa baba yake shangingi, ila ili niache inabidi uache kufundisha ushangingi.
Ever Smiling Kasie.
Hahahaha vyuma vimekaza hatarii, hao watakuwa wapare....
Ila kuliko kutumia gharama kuwasha gari ili iminye dawa ya meno bora kutumia mkaa au chumvi mradi usukutue sana ili usiwe na harufu mdomoni.
Ever Smiling Kasie.
Duuh hii hatari sanaAlalaye usimwamshe. ...... ukimwamsha utalala wewee, shauri yako labda tuu nikutahadharishe kuanzia sasa hivi uhakikishe kila dakika mkono wako uwe unakagua kama rinda lako lipo hata ukilala mkono wako usibanduke nyuma laa sivyo ukizubaa tuu ukijastuka kukuu yuleee hadija yuleee kila kitu wazi loki zote zimeachia.
Usijesema sikukutahadharisha.
Ever Smiling Kasie.