Aisee kuna mambo mengi sio sifa njema aisee tujitathimini

Aisee kuna mambo mengi sio sifa njema aisee tujitathimini

Bado hajavunja rekodi ya wengi
Tatizo wengine rekodi zao hazijathibitishwa huyu kaprove wengine hawajui rekodi zao(tukimwondoa zero IQ)
Wewe data zako zinazomekaje dhidi ya jamaa kwani ingekuwa tuzo jamaa kashachukua kwani hana mpinzani aliye dhahiri
 
Kila siku nachapa 1,nikipunguza sana kwa wiki napiga 4,mara siku 365 kwa miaka 8 niliyoanza kuwamenya utapata hesabu yako hapo mkuu
Ukianza kupiga kwasiku hata wa3 hivi itapendeza zaidi, asubuh mchana na jion.Maishaa yenyew mafup haya raha jipe mwenyewe
 
Ukianza kupiga kwasiku hata wa3 hivi itapendeza zaidi, asubuh mchana na jion.Maishaa yenyew mafup haya raha jipe mwenyewe
[emoji16][emoji16][emoji16] Aiseee utakuwa hunitakii mema wewe alafu nitakuwa namwaga nini?
 
Yaani 1000 TU ndio anaona weeengi mpaka aje ajitambe?

He is not serious....!
 
Back
Top Bottom