Aisee!! Hivi hii mbegu nitaipata wapi

Aisee!! Hivi hii mbegu nitaipata wapi

Hilo ni rahisi tu, nenda Sudani tafuta hao watu halafu mwambie akupe shahawa zake kwenye chupa halafu nenda lab wanazifanyia kazi na kuzipandikiza kwako, baada ya miezi 9 una mtoto wa Kinubi!
Kumbe Wa Sudan pia ni warefu, mie nili kariri tu weusi wao.
 
Hilo ni rahisi tu, nenda Sudani tafuta hao watu halafu mwambie akupe shahawa zake kwenye chupa halafu nenda lab wanazifanyia kazi na kuzipandikiza kwako, baada ya miezi 9 una mtoto wa Kinubi!
Na ajiandae kwa sura atakayo pata. South Sudan wamejaa tele.
 
Unaiponda hiyo GMO na wakati wabunge walipiga makofi kuishangilia. hahahahahah
hii ni kwa upande wa binadamu. usitumie GMO maana utakua mtumwa, madhara ya GMO ni kwamba ukipata mazao hauwezi kuyatumia kama mbegu kupata tena mazao mengine, sasa yanini upate shida, wahi sasa ujipatie yakwako asilia.
 
Back
Top Bottom