Aisee! Facebook kuna vituko

Unaishi kijiji gani?mbona wameshashuka hadhi zamaani, soko lao linazidi kupaa kwenda wapi?
madada wa Bongomovie, wanavo jitangaza na kuweka wazi na wanaume waliotembea nao, mbona hatuwaiti malaya? na bado soko lao linazidi ku paa tu.
 
Hahahaa umeichunguza kweli picha
Huyo mtoto aloshika tama wakati hadija anakula ukodac ananipa mawazo mengi! Kuna kitu anaelewa kuhusu bibie au kuhusu Kadara.
 
20759479_111117469568503_7330767832851939328_n(1).jpg
 
Back
Top Bottom